This blog bassed on dairly NEWS AND ACTIVITIES....niyetu wote TANZANIA tuhabarishane na tufumbuane.Together as one..GOD BLESS TANZANIA GOD BLESS TANZANIAN!!!!!!!
nicolaus andrew kajale
mimi ni kijana wa ki-TANZANIA......naipenda nchi yangu,naipenda TANZANIA!
Thursday, June 06, 2013
UINGEREZA YAKUBALI KUWAFIDIA MAU MAU
Serikali ya Uingereza imetangaza kuwa itawalipa fidia ya dola milioni thelathini manusura wa harakati za ukombozi wa Uhuru wa Kenya Mau Mau.
Waziri wa mambo ya nje wa Uingereza William Hague ametangaza kuwa serikali yake itawalipa wale wote walioteswa na askari wa ukoloni katika miaka ya 1950.
Taarifa zinazohusiana
Kenya
Waliokuwa wanachama wa vuguvugu hilo waliwasilisha kesi mahakamani kwa mateso na dhuluma walizodai kutendewa na uliokuwa utawala wa ukoloni miaka ya 50.Huenda pia Uingereza itatangaza fidia.
Waliokuwa wanachama wa vuguvugu hilo waliwasilisha kesi mahakamani kwa mateso na dhuluma walizodai kutendewa na uliokuwa utawala wa ukoloni miaka ya 50.Huenda pia Uingereza itatangaza fidia.
Zaidi ya wakenya 5,000, waliteswa baadhi wakinyanyaswa na waliokuwa wakoloni wa Uingereza
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


No comments:
Post a Comment