nicolaus andrew kajale

mimi ni kijana wa ki-TANZANIA......naipenda nchi yangu,naipenda TANZANIA!

Thursday, June 06, 2013

UINGEREZA YAKUBALI KUWAFIDIA MAU MAU



Serikali ya Uingereza imetangaza kuwa itawalipa fidia ya dola milioni thelathini manusura wa harakati za ukombozi wa Uhuru wa Kenya Mau Mau.

Waziri wa mambo ya nje wa Uingereza William Hague ametangaza kuwa serikali yake itawalipa wale wote walioteswa na askari wa ukoloni katika miaka ya 1950.
Taarifa zinazohusiana
Kenya

Waliokuwa wanachama wa vuguvugu hilo waliwasilisha kesi mahakamani kwa mateso na dhuluma walizodai kutendewa na uliokuwa utawala wa ukoloni miaka ya 50.Huenda pia Uingereza itatangaza fidia.

Waliokuwa wanachama wa vuguvugu hilo waliwasilisha kesi mahakamani kwa mateso na dhuluma walizodai kutendewa na uliokuwa utawala wa ukoloni miaka ya 50.Huenda pia Uingereza itatangaza fidia.

Zaidi ya wakenya 5,000, waliteswa baadhi wakinyanyaswa na waliokuwa wakoloni wa Uingereza

No comments:

Post a Comment