Hawa ni miongoni mwa WASHIRIKI ambao wameingia kwenye kikaango cha BIG BROTHER wiki hii....
miongoni mwao ni MTANZANIA mwenzetu,dada yetu FEZA ....lakini wiki hii imekua ngumu sana kutabiri ni mshiriki gani ambaye anaweza kutoka wiki hii....tuungane kuwaunga mkono wa TANZANIA wenzetu katika kinyang'anyiro hiki cha BIG BROTHER AFRICA SEASON SIX THE CHASE!!!!!!!
TUWAPIGIE WATANZANIA WENZETU KURA KWA WINGI!!!!!


No comments:
Post a Comment